Library Catalog

Ukuzaji wa kiswahili : dhima na majukumu ya asasi mbalimbali /

Ukuzaji wa kiswahili : dhima na majukumu ya asasi mbalimbali / edited by Nyachae Michira, P. I. Irebemwangi, Mwenda Mbatiah. - 254 pages ; 21 cm

Includes bibliographical references and index.

Lugha ya kiswhili inaendelea kutanda na kuenea katika pembe zote za ulimwengu.Inakisiwa kwamba lugha hii inazunguzwa na zaidi ya watu milioni 100 ulimweguni.

Katika Ukuzaji wa Kiswahili: Dhima na Majukumu ya Asasi Mbalimbali, wataalamu na watafiti watajika wa Kiswahili kutoka mataifa tofauti ulimwenguni wanachanganua na kutathmini mchango wa asasi hizo katika ukuzaji wa Kiswahili. Aidha, wataalamu hao wanaangazia sio tu mafanikio yaliyopatikana lakini pia changamoto zilizoko na kutoa mapendekezo ambayo yakizingatiwa, yatapelekea Kiswahili kuimarika hata zaidi kama chombo mufti cha mawasiliano, ustawi na maendeleo nyakati hizi za utandawazi na teknolojia ya habari na mawasiliano. Hiki ni kitabu muhimu kwa wapenzi na wasomi wa Kiswahili.

The Swahili language continues to spread and spread throughout all corners of the globe. It is estimated that this language is spoken by more than 100 million people worldwide. In addition, Kiswahili is not only a language of communication but also national language and / or official language in Community states of East Africa. Growth, spread and consolidation of Kiswahili is derived from various factors such as trade, international cooperation, tourism and travel together and globalization. Despite this, there are many organizations that are involved in the promotion and development of Kiswahili as such as parliament and policy-making bodies, education, instruments information and communication, Kiswahili departments in universities, religion and printing industry.

9789966012241




Swahili language - Study and teaching (Secondary).
Swahili language - Study and teaching (Secondary).

496.392 UKU

© 2025, Kenya National Library Service | Designed & Maintained by Uvumbuzi Center