Jipe moyo : diwani ya mashairi / (Yamekusanywa na Hamisi Babusa).
Material type:
TextSeries: MKUUDescription: 42 pages ; 21 cmISBN: - 9789914442908
- 896.3921076 JIP
| Item type | Current library | Collection | Call number | Copy number | Status | Notes | Date due | Barcode | |
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Books
|
Preservation, Conservation & Publication | Legal Deposit | 896.3921076 JIP (Browse shelf(Opens below)) | 1 | Not for loan | Not for loan | B233413 | ||
Books
|
Preservation, Conservation & Publication | Legal Deposit | 896.3921076 JIP (Browse shelf(Opens below)) | 2 | Not for loan | Not for loan | B233412 |
Collection of Swahili poems.
Jipe Moyo: Diwani ya Mashairi ni diwani ya mashairi iliyokusanywa na Dkt. Hamisi Babusa. Mkusanyiko wa mashairi ya Kiswahili unaoangazia maisha ya jamii, maadili, changamoto na matumaini kupitia sanaa ya ushairi. Mashairi haya yanahusu stadi za maisha, maadili katika jamii, na masuala ibuka yanayowagusa wanafunzi moja kwa moja. Imeandikwa kwa lugha nyepesi na inayoeleweka kwa urahisi ili kuwasaidia wanafunzi kufurahia na kupenda ushairi. Kitabu kinatumia mbinu mbalimbali za kifasihi kama vile tashbihi, sitiari, methali, na nahau kuelimisha wasomaji. Kila shairi lina maswali ya mwongozo yanayomsaidia mwanafunzi kuchambua na kuelewa ujumbe uliokusudiwa.
There are no comments on this title.
